Createa free cards
Searchmade ecards
Wishesbase wishlist

Anatarajia kufunga ndoa na MARIAM Bint HUSSEIN ABDALLAH mnamo tarehe 19/10/2024

Ads
Anatarajia kufunga ndoa na MARIAM Bint HUSSEIN ABDALLAH mnamo tarehe 19/10/2024
Create a similar
Send a card
The content of the card
Mchango Wa Harusi
Familia ya HASSAN MAZILA wa Kilindi, Tanga inayo furaha kukujulisha/kuwajulisha
Bw/Bibi/Bw&Bibi/Miss/Mhe/Dk/Mwl/Eng/Shekh
.............................................
kuwa kijana wao mpendwa SHABAN HASSAN MAZILA
anatarajia kufunga ndoa na MARIAM Bint HUSSEIN ABDALLAH mnamo tarehe 19/10/2024.
Ukiwa kama ndugu,jamaa na rafiki wa karibu na familia hii unaombwa mchango wako wa hali na mali ili kufanikisha shughuli hii muhimu.Tutashukuru iwapo mchango wako utatufikia kabla ya tarehe 01/10/2024 kupitia kwa aliyekupa kadi hii
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati.
Mola akulipe kheri
Mawasiliano :
0621 076314
0658921812
Similar cards
Inspirations
On ; 3rd May, 2023 | Wednesday | 6.00 pm onwardsMantapa, ByndoorTime: 5:30P.M OnwardsD/o Mr.C.BoopalanOn Friday , 23rd August 2024.
Statistics Created today: 39 Created yesterday: 70 Created 7 days: 375 Created 30 days: 1481 All ecards: 352109
Copyright by CreateGreetingCards.eu